LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 14, 2024

DK BITEKO AFURAHI KUKUTANA NA WAPIGA KURA WAKE BUNGENI


Mbunge wa Bukombe, ambaye ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dotto Biteko akishangiliwa na wapiga kura walioalikwa kutembelea Bunge jijini Dodoma Februari 14,2024.

rDkt Dotto Biteko akizungumza jambo na wananchi kutoka Jimbo la Bukombe.


Dk. Biteko akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Geita, Rose Busiga


Dk. Biteko akizungumza na Katibu wake wa ubunge, Jonathan Mgaya.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

0754264203
 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages