LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 15, 2024

UBORESHAJI MKUBWA TAZARA KUANZA MWAKA HUU


 Mbunge wa Mbeya Vijijini, Oran Njeza na Mbunge wa Kalambo, Josephat Kandege wameitaka serikali kuanza uboreshaji wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) ikiwemo kuanza ujenzi wa kipande  cha Reli ya Tazara kutoka Tunduma hadi Bandari ya Katanga.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages