
Mbunge wa Jimbo la Nsimbo, mkoani Katavi, Anna Lupembe ameihoji serikali bungeni Februari 14, 2024 kwamba ni lini itakamilisha ujenzi wa mradi wa umwagiliaji maji wa Usense, katika Kata ya Urulwa jimboni humo? IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇