LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 7, 2023

CHONGOLO AZINDUA MABANDA YA BIASHARA YA CCM WILAYA MPANDA

Komredi Chongolo akizindua vibanda hivyo ambavyo ni kitega uchumi cha CCM Wilaya ya Mpanda wakati wa ziara ya kuiamarisha uhai wa chama, kusikiliza kero za wananchiv na kukagua Utekelezaji wa Ilani ya CCM mkoani Katavi Oktoba 6, 2023.
 

Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Daniel Chongolo akikagua mabanda ya biashara vilivyojengwa kuzunguka Ofisi ya CCM Wilaya ya Mpanda kwa ajili ya kukodisha wakati wa ziara ya kuiamarisha uhai wa chama, kusikiliza kero za wananchiv na kukagua Utekelezaji wa Ilani ya CCM mkoani Katavi Oktoba 6, 2023.



Vijana wa hamasa wakimlaki Komredi Chongolo.
Akiangalia ngoma za utamaduni




IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages