Komredi Chongolo ambaye yupo katika ziara ya kikazi ya siku 5 mkiani Katavi, ameiagiza TAMISEMI kupeleka haraka watumishi watumishi katika Hospitali hiyo.
Mbunge wa Jimbo la MpandaKaskazini, Kakoso akitoa changamoto za Jimbo Hilo mbele ya Komredi Chongolo.
Chongolo akihutubia baada ya kukagua Hospitali hiyo.
Mbunge wa Jimbo la MpandaKaskazini, Kakoso akitoa changamoto za Jimbo Hilo mbele ya Komredi Chongolo.
Chongolo akihutubia baada ya kukagua Hospitali hiyo.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇