Tunawaletea ujumbe maridhawa kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Komredi Daniel Chongolo alioutoa hivi karibuni katika mkutano wa hadhara wakati wa ziara zake nchini za kuimarisha uhai wa chama, kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia ufumbuzi pamoja na kukagua utekelezaji wa Ilani ya chama hicho kwa kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.
Sep 29, 2023
SIKILIZA UJUMBE MARIDHAWA KUTOKA KWA KOMREDI CHONGOLO
Tags
featured#
Habari#
Share This

About Richard Mwaikenda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇