Tunawaletea ujumbe maridhawa kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Komredi Daniel Chongolo alioutoa hivi karibuni katika mkutano wa hadhara wakati wa ziara zake nchini za kuimarisha uhai wa chama, kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia ufumbuzi pamoja na kukagua utekelezaji wa Ilani ya chama hicho kwa kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.
Your Ad Spot
Sep 29, 2023
SIKILIZA UJUMBE MARIDHAWA KUTOKA KWA KOMREDI CHONGOLO
Tags
featured#
Habari#
Share This
About Richard Mwaikenda
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇