Spika wa Bunge la Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Mabunge Duniani kwa Kundi la Afrika (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akimkabidhi zawadi yenye nembo ya mfano wa jengo la Bunge la Tanzania Spika wa Bunge la Uruguay ambaye pia ni Makamu wa Rais wa nchi hiyo Mhe. Beatriz Argimon, wakati alipomtembelea ofisini kwake Jijini Montevideo, Uruguay leo tarehe 27 Septemba, 2023.
Your Ad Spot
Sep 28, 2023
SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA SPIKA WA URUGUAY
Spika wa Bunge la Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Mabunge Duniani kwa Kundi la Afrika (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akimkabidhi zawadi yenye nembo ya mfano wa jengo la Bunge la Tanzania Spika wa Bunge la Uruguay ambaye pia ni Makamu wa Rais wa nchi hiyo Mhe. Beatriz Argimon, wakati alipomtembelea ofisini kwake Jijini Montevideo, Uruguay leo tarehe 27 Septemba, 2023.
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About Richard Mwaikenda
habari picha
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇