Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma, Fatma Toufiq amehoji bungeni dodoma kwamba serikali inatoa kauli kwa wanaorusha mitandaoni picha za waliofanyiwa ukatili? Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dkt Doroth Gwajimaamesema kwanzia sasa watu wote wanaofanya vitendo hivyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇