Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida, Martha Gwau ameihoji serikali bungeni Dodoma Agosti 30, 2023, kwamba ina mpango gani wa kujenga nyumba za kuwahifadhi waliofanyiwa ukatili mkoani Singida? IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇