Mbunge wa Lupa Chunya amehoji bungeni leo Agosti 29, 2023, kwamba ni li ni serikali itapeleka fedha kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kata ya Ifumbo ili wananchi waanze kupata huduma?IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇