Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia Habari, Nape Nnauye (kulia) akijadiliana jambo na aliyekuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba wakati wa Mkutano wa 12 wa Bunge , Kikao cha pili bungeni Dodoma Agosti 30,2023. Makamba ameteuliwa kujwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Mbunge wa Viti Maalumu, Mariamu Nyoka akiuliza swali bungeni.
Mbunge wa Singida Kaskazini, Ramadhan Ighondo akijdiliana jambo na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Arusha, Zaytun Swai
Mbunge wa Kilombero, Abubakar Asenga akiuliza swali bungeni
Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu akiongoza kikao cha pili cha Bunge
Mbunge wa Viti Maalumu, Regina Ndege
Mbunge wa Jimbo la Manyoni Magharibi, Yahya Masare 9kulia) akiwa na Mbunge wa Nkenge, Florent Kyombo
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇