Mbunge wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi, amsema licha ya Bajeti ya Kilimo kuongezewa fedha lakini bado haikidhi haja, bali iongezewe ifikie sh. trilioni 2 ili mambo yaende sawa.
Pamoja na mambo mengine ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2023/2024 bungeni Dodoma Mei 8, 2023.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Ndakidemi akichangia bajeti hiyo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇