Mbunge wa Lupa, Chunya, Masache Kasaka pamoja na mambo mengine ameiomba serikali kuwapatia ruzuku wakulima wa tumbaku kama inafanya kwa mazao mengine. Ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo bungeni Dodoma Mei 9, 2023.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video,Kasaka akitoa mchango wake huo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇