Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameiomba serikali kuwajengea miundombinu ya umwagiliaji kwenye mashamba ya chai Njombe ili uzalishaji uongezeke. Pamoja na mambo mengine ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya bajeti ya Wizara ya Kilimo bungeni Dodoma Mei 9, 2023.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video,Mwanyika akitoa mchango wake huo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇