Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kigoma, Josephine Genzabuke ameitaka serikali kuwapimiawananchi mashamba yao ili wapate hatimiliki zitakazosaidia kupatia mikopo benki kama dhamana na ameomba mbolea isambazwe hadi vijijini kuwapunguzia mzigo wananchi kufuata mijini. Ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo Mei 9, 2023.
Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Genzabuke akilipambania jambo hilo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇