Mbunge wa Viti Maalumu, Josephine Genzabuke aihoji serikali ni lini itajenga barabara kwa kiwango cha lami kutoka Simbo hadi Kalya?
Amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Mei 8, 2023.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Genzabuke akipigania jambo hilo...
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇