Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika amehoji bungeni Dodoma Aprili 8, 2023, kuhusu ujenzi wa Kituo cha Pilisi Njombe Mjini ambacho kwa hivi sasa kimechakaa.
Amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu na kujibiwa na Naibu waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwanyika akitoa kilio chake hicho...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇