Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepatiwa Tuzo maalum kwa ajili ya kuleta Mapinduzi katika Sekta ya Elimu nchini Tanzania.
Tuzo hiyo imetolewa na Umoja wa Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri (REDEOA) katika hafla ya kumpongeza iliyofanyika jijini Mwanza leo Aprili 7, 2023.
Tuzo hiyo maalum imepokelewa na Mhe. Angellah Kairuki kwaniaba ya Rais.
Your Ad Spot
Apr 8, 2023
RAIS SAMIA APEWA TUZO MAALUM
Tags
Elimu#
featured#
Share This
About Bashir Nkoromo
featured
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇