Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kigoma, Josephine Genzabuke amempongeza Rais Samia Suluhu kuagiza mikopo ya Halmashauri kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu ipitie benki. Aidha Genzabuke ametoa pongezi hizo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Aprili 6, 2023 ameitaka serikali kuweka utaratibu huo kwa vikoba na Saccos za wananwake nao wakopeshwe kupitia benki.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Genzabuke akitoa ushauri wake huo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇