Mbunge wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi ameiomba serikali bungeni Dodoma Aprili 5, 2023, kuona umuhimu wa kujenga miundombinu ya barabara kurahisisha watalii kufika kuona mti mrefu kulio yote Afrika.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video.Prof. Ndakidemi pamoja na mambo mengine ameiomba serikali kujenga barabara kwenda kwenye mti huo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇