Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) Prof. Joseph Ndunguru na Dkt Mohammed Mpina wa Idara ya Viuatilifu wakijibu maswali yaliyulizwa na mwandishi wa habari wa mtandao huu, Richard Mwaikenda walipokuwa wakielezea utekelezaji wa majukumu ya TPHPA katika mktano na waandishi wa habari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO jijini Dodoma Machi Mosi, 2023.
Wanahabari wakisikiliza kwa makini wakati wa mkutano huo.
Wanahabari wakisikiliza kwa makini wakati wa mkutano huo.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, viongozi hao wakijibu maswali hayo....
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇