Kamanda waTaasisi ya Kuzuia Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Dodoma, Sosthenes Kibwengo amesema kuwa kosa la rushwa ikiwemo kufuja fedha mbichi za serikali bila kupeleka benki, watakaopatikana na hatia mahakamani watakubwa na adhabu ya kifungo cha miaka 20 na kurejesha fedha zilizofujwa. Amebainisha hayo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari ofisi za TAKUKURU Mkoa wa Dodoma Februari 15,2023.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Kibwengo akielezea hayo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇