Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Bodi ya Wakurugenzi ya T-MARC Tanzania ukiongozwa na Bw. Alex Mgongolwa, Mwenyekiti wa Bodi hiyo waliofika Ikulu Zanzibar kwa kumshukuru Mheshimiwa Rais kwa kuwafungulia Mradi wa Kijana Nahodha wenye lengo la kuwawezesha Vijana katika kufanya shughuli za Maendeleo pamoja na kumkabidhi ripoti ya mpango mkakati wa Taasisi hiyo ya kizawa iliyojikita kwenye kuboresha maswala mbalimbali ya afya katika jamii.
Feb 24, 2023
RAIS DKT MWINYI AKUTANA NA BODI YA WAKURUGENZI YA T-MARC TANZANIA
Tags
featured#
KIJAMII#
Share This

About Author CCM Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇