Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule akihutubia wakati wa uzinduzi wa Baraza la Biashara Mkoa huo lenye mpango mkakati wa kuifanya Dodoma kwa kitivo cha Biashara na Uwekezaji nchini
Uzinduzi wa baraza hilo ambalo tangu mwaka 2019 halikuwepo, limezinduliwa tena Februari 24, 2023.
Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Dkt Fatma Mganga akielezea mpango mkakati wa Baraza hilo.
Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Dodoma ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Baraza la Biashara la Mkoa huo, Khamis Fungameza akitoa neno kabla ya Mwenyekiti wa Baraza hilo, Senyamule kufunga mkutano huo.
Afisa Biashara Mkuu Kitengo cha Maboresho ya Mazingira ya Biashara , Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Julius Mwambeso akifafanua jambo wakati wa mkutano huo.
Sehemu ya wajumbe wa Baraza hilo wakiwa kwenye mkutano huo.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇