Mkuu wa Mkoawa Dodoma, Rosemary Senyamule akikata keki ikiwa ni ishara ya kuanza kwa zoezi la kuhesabu watu wakati wa mkesha wa Mwenge wa Uhuru mjini Mpwawa.
Ni furaha iliyoje wakati mafataki takipigwa.
Baadhi ya makarani na wasimamizi wa sensa
Aina ya keki iliyokatwa wakati wa uzinduzi huo
Keki ikigawiwa
Mwenge wa Uhuru uliokesha siku hiyo
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDAMdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya videoIMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇