Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson akizungumza na Balozi wa Tanzania Nchini Malawi, Balozi Humphrey Polepole baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu uliopo Lilongwe nchini humo, leo Julai 10, 2022 . Spika amefika Nchini Malawi kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 51 wa Jukwaa la Mabunge ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC – PF) utakaoanza tarehe 11 hadi 16 Julai, 2022 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Bingu (BICC) Jijini Lilongwe.
Your Ad Spot
Jul 10, 2022
Home
featured
Kitaifa
SPIKA DK. TULIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI POLEPOLE NCHINI MALAWI, LEO
SPIKA DK. TULIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI POLEPOLE NCHINI MALAWI, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇