Akitangaza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma Julai 13, 2022, Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt Alfello Sichwale amesema kuwa serikali imechukua hatua ya kuunda jopo la watalaam ili kubaini ugonjwa uliozuka mkoani Lindi na kuua watu watatu.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇