Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Titus Kaguo akizungumza na CCM Blog kwenye viwanja vya Maonesho ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam, amesema kuwa watanzania wasiwe na wasiwasi kwamba bei ya mafuta ikishuka katika soko la dunia hapa kwetu haitashuka.Amewahakikishia kuwa itashuka tu kama ilivyotokea wakati wa COVID Mwaka 2020 ambapo yalishuka kutoka SH. 2000 hadi 1500.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Kaguo akiwatoa wasiwasi huo....
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇