LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 7, 2022

SILLO: YAONGEZWE MAFUNZO KWA WALIPA KODI, KUONGEZA WIGO WA KUKUSANYA KODI+video


Mbunge wa Babati Vijijini, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Daniel Sillo ameishauri Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kuongeza mafunzo kwa walipa kodi nchini ili kuongeza wigo wa kukusanya kodi.

Aidha, Sillo ameishauri Wizara ya Fedha na Mipango kuongeza mafunzo kwa wakaguzi wa kodi za ndani, pia waiwezeshe TRA kuwa na mifumo ya kisasa ya kukusanya kodi. Ametoa ushauri wake huo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara hiyo bungeni Dodoma Juni 7,2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Sillo akitoa ushauri wake huo....


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages