Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Kigua akiwasilisha maoni hayo...
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kidumu ya Bunge ya Bajeti, Mbunge wa Kilindi, Omary Kigua akiwasilisha taarifa ya makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango 2022/23 bungeni Dodoma leo Juni 7, 2022.
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇