LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 26, 2022

KATIBU MKUU CHONGOLO AZURU KABURI LA ALIYEKUWA RAIS WA BURUNDI HAYATI PIERRE NKURUNZIZA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo, Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga (kulia) na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Amandusi Nzamba (kushoto) wakiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Rais wa Burundi Hayati Pierre Nkurunziza, Gitega nchini humo leo. Nkurunziza alifariki Juni 8, 2020.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages