Naibu Waziri wa Kazi, Ajira, Vijana na Makundi Maalumu, Mbunge wa Shinyanga Mjini, Patropas Katambi amesema wapinzani wanaeneza chuki na uongo dhidi yake , kisa CCM imewanyang'anya vijana wao wengi.
Ameyasema hayo nmbele ya vyombo vya habari jijini Dodoma Juni 3, 2022.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, akilizungumzia jambo hilo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇