LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 31, 2022

WAITARA APAMBANIA VITONGOJI 300 KUWEKEWA UMEME TARIME VIJIJINI+video


Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara amehoji bungeni ni lini vitongoji 300 vitawekewa umeme jimboni kwake? Amehoji wakati wa kipindi cha maswali na majibu na kujibiwa na Naibu Waziri wa Nishati, Byabato bungeni Dodoma Mei 31, 2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwita akiwapambania wananchi wake kupata umeme.....


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages