LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 5, 2022

MBUNGE KAMONGA AIOMBA SERIKALI KUJENGA BARABARA KATA NNE LUDEWA AMBAZO TANGU UHURU HAZINA+video

Mbunge wa Jimbo la Ludewa, Joseph Kamonga ameiomba Serikali ifanye jitihada za kujenga barabara katika Kata nne za Jimbo la Ludewa ambazo tangu Uhuru hazina na wananchi wa eneo hilo hawajawahi ona gari likipita.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kwenye viwanja vya Bunge jijijni Dodoma Aprili 5, 2022.
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages