LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 5, 2022

MAMBO YA BUNGENI DODOMA LEO

        Shamsi Vuai Nahodha akila kiapo kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bungeni Dodoma leo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kulia) akiwa na Mbunge wa Arusha Mjini,  Mrisho Gumbo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali,  Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi  na Mnadhimu Mkuu wa Serikali, Simbachawene, George Simbachawene


Mbunge wa Lupa Masanche Kasaka akiuliza swali bungeni Dodoma.
Mbunge wa Njombe Mjini, Deo Mwanyika akinukuu jambo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma
Wageni wakifuatilia kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma.

                                       







 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages