Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Husein Ali Mwinyi baada ya kuhutubia katika
Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa katika
Viwanja vya Maisara mjini Zanzibar leo Machi 8, 2022.Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akihutubia katika
Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa katika
Viwanja vya Maisara Zanzibar leo. Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo
na mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Mzee Abeid Amani
Karume Bi Fatma Karume, baada ya kuhutubia katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya
Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa katika Viwanja vya Maisara Zanzibar
leo.Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiagana na Marais
Wastaafu wa Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume na Dk. Ali Mohamed
Shein,baada ya kuhutubia katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake
Duniani yaliyofanyika Kitaifa katika Viwanja vya Maisara Zanzibar leo.Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alipokuwa akicheza pamoja na Kikundi cha ngoma za asili cha Bomu kutoka Unguja kabla ya kuhutubia
Viongozi mbalimbali waliohudhuria Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa katika Viwanja vya Maisara Zanzibar leo.
Baadhi ya wananchi waliohudhuria katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
yaliyofanyika Kitaifa katika Viwanja vya Maisara Zanzibar leo tarehe 08
Machi, 2022.
Your Ad Spot
Mar 8, 2022
Home
featured
Kitaifa
RAIS SAMIA ALIVYONOGESHA SHEREHE ZA KITAIFA YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI, ILIYOFANYIKA JIJINI ZANZIBAR, LEO
RAIS SAMIA ALIVYONOGESHA SHEREHE ZA KITAIFA YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI, ILIYOFANYIKA JIJINI ZANZIBAR, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About CCM Blog
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇