LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 15, 2022

TADAYO. SHERIA ZILIZOPITISHWA ZIMEWEKA MKAKATI KURAHISISHA MFUNGAMANO NA DUNIA KISIASA, KIUCHUMI NA KIDEMOKRASIA+video

 

 
Mbunge wa Mwanga, Joseph Tadayo akichangia bungeni Dodoma Februari 14, 2022 taarifa ya utekelezaji wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria amesema kuwa sheria zilizopitishwa na Bunge zimeweka mkakati kurahisisha mfungamano na Dunia kiuchumi, kisiasa na kidiplomasia.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages