LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 15, 2022

MSONGOZI: SERIKALI INA MPANGO GANI WA KUJENDA KIWANDA CHA MBOLEA RUVUMA?

 

 Mbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi akiuliza swali bungeni kwamba Serikali ina mpango gani wa kuhakikisha bei ya mbolea inashuka au kuweka ruzuku ili kuwapa unafuu wakulima na kuliepusha taifa na janga la njaa?


Msongozi alihoji hayo alipouliza swali la msingi wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Februaei 14,2022.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages