LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 16, 2022

SERIKALI YAKUBALI OMBI LA MWANYIKA KUWAPATIA WACHIMBAJI WADODO WA MADINI MAFUNZO, MAENEO NJOMBE+video



 Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameihoji serikali bungeni kuwa ni lini wachimbaji wadogo Njombe watasaidiwa? Serikali imejibu kuwa maeneo yaliyopimwa watagawiwa pamoja na kupatiwa mafunzo.

Mwany aliuliza swali hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Februari 16.22.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages