LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 16, 2022

WIKI YA UBUNIFU (MAKISATU) KUFANYIKA MIKOA 17 NA ZANZIBAR+video


 Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda pamoja na kutaja mafanikio makubwa waliyopata kupitia Maadhimisho mbalimbali ya Wiki ya Ubunifu na Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU) amesema kuwa tangu waanze maadhimisho hayo, wamefanikiwa kuibua na kutambua wabunifu wachanga 1,785.

Mkenda ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kuhusu maandalizi ya maadhimisho hayo kwa mwaka huu katika mkutano uliofanyika jijini Dodoma Februari 16, 2022.



Naibu Waziri, Omar Kipanga akisisitiza jambo wakati wa mkutano huo.

Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Sedoyeka akitoa shukrani.



Sehemu ya wanahabari maafisa

PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA




IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages