Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akikagua Gwaride Maalum la Maofisa Wapya waliohitimu mafunzo ya Uofisa Kozi No. 1/2021, katika Mahafali ya kufunga kozi hiyo yaliyofanyika leo Disemba 12, 2021, katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Kurasini Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akihutubia Maofisa Wapya waliohitimu mafunzo ya Uofisa Kozi No. 1/2021, katika Mahafali ya kufunga kozi hiyo yaliyofanyika leo Disemba 12, 2021, katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Kurasini Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi nchini na Wageni Waalikwa wakiwa kwenye Mahafali hayo.
Baadhi ya Maofisa Waandamizi wa jeshi la Polisi nchini na Wageni Waalikwa wakiwa kwenye Mahafali hayo.
©2021 CCM Blog/Bashir Nkoromo
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇