Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Fedha na Mipango, Benny Mwaipaja akielezea utaratibu wa kikao hicho.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) akizungumza kabla ya kuanza mafunzo hayo.
Baadhi ya wahariri wakiwa katika kikao hicho
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip ya video hapa chini, Katibu Mkuu wa Wizara,Tutupa akizungumza kuhusu umuhimu wa kikao hicho na mwakilishi wa wahariri Benny Mwang'onda akitoa shukrani...
Imeandaliwa na Richard Mwaikenda Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇