LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 1, 2021

WAZIRI MHAGAMA AZINDUA NEMBO, KAULI MBIU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU+video

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama (wa pili kulia) Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, anayeshughulikia  Sera, Uratibu na Barza la Wawakilishi, Dkt Khalid Salum Mohamed, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt Ashatu Kijaji (wa pili kushoto) na viongozi wengine wakipiga makofi baada ya kuzindua rasmi nembo  na Kauli Mbiu ya Madhimisho ya miaka 60 ya Uhuru Tanzania Bara jijini Dodoma leo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu) katika mkutano na vyombo vya habari kuhusu maandalizi ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara yatakayofikia kilele Desemba 9, 2021.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, anayeshughulikia  Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi, Dkt Khalid Salum Mohamed,  akielezea jinsi Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ilivyoshirikishwa na katika maandalizi ya maadhimisho hayo.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.
Baadhi ya maafisa wa serikali.
Baadhi ya maafisa wa serikali na wanahabari wakiwa katika mkutano huo.



 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Waziri Mhagama akielezea kuhusu maandalizi hayo, Dkt Khalid wa Zanzibar akielezea jinsi walivyoshirikishw, pamoja  na Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Maelezo, Gerson Msigwa akitaja baadhi ya wizara zitakazoanza kuelezea mafanikio waliyopata yanayoonesha dhahiri maendeleo ya miaka 60 ya Uhuru....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages