CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimeipongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kutenga sehemu ya fedha za afua ya UVIKO 19 kujenga vyumba vya madarasa 18,000 katika shule za msingi na sekondari nchini.
Pongezi hizo zimetolewa na Katibu Mkuu wa CWT, Deus Seifu katika mkutano na waandishi wa habari alipokuwa akitangaza maadhimisho ya miaka 28 ya chama hicho katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya chama hicho jijijini Dodoma. Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video hapa chini, Katibu Mkuu Seifu akitoa pongezi hizo na Kaimu Rais wa CWT, Dinah Masamani akitoa yamoyoni kuhusu Bima ya Maisha kwa Walimu, Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇