Rais Samia Suluhu Hassana kiwa na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza katika masuala ya Biashara kati ya Tanzania na Uingereza Lord Walney, baada ya kuzungumza naye katika mji wa Glasgow, Scotland jana, Oktoba 31, 2021. Rais Samia yupo Glasgow kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za mabadiliko ya tabianchi (COP 26). Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Liberatha Mulamula na kulia ni Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Dk. Asha Rose Migiro.
Rais Samia Suluhu Hassana alipokuwa akisalimiana na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza katika masuala ya Biashara kati ya Tanzania na Uingereza Lord Walney, Glasgow, Scotland jana Oktoba 31, 2021.
Rais Samia Suluhu
Hassana kiwa katika mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza katika masuala
ya Biashara kati ya Tanzania na Uingereza Lord Walney, katika mji wa Glasgow, Scotland jana, Oktoba 31, 2021.
Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Liberatha Mulamula na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Dk.
Asha Rose Migiro. (Picha na Ikulu).
Your Ad Spot
Nov 1, 2021
Home
featured
Kitaifa
RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA WAZIRI MKUU WA UINGEREZA MJINI GLASGOW, SCOTLAND
RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA WAZIRI MKUU WA UINGEREZA MJINI GLASGOW, SCOTLAND
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇