Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Eliezar Feleshi akila kiapo cha uaminifu mbele ya Spika wa Bunge, Bungeni Dodoma |
Baadhi ya wabunge wakimsindikiza Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Feleshi kwenda kuapishwa.
Mbunge mpya wa Jimbo la Konde Pemba, Mohammed Salum Issa akila kiapo cha utiifu bungeni Dodoma.Mbunge mpya wa Ushetu, Emmanuel Charahani
akila kiapo cha uaminifu mbele ya Spika wa Bunge, Bungeni Dodoma |
Baadhi ya wabunge wakimsindikiza Charahani kwenda kuapa |
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇