Rais Samia Suluhu Hassan, akishuka katika Ndege baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Novemba 4, 2021 akitokea Glasgow, Scotland alikohudhuria mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa uliojadili kuhusu athari za mabadiliko ya tabianchi Duniani
Rais Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Novemba 4, 2021 akitokea Glasgow, Scotland alikohudhuria mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa uliojadili kuhusu athari za mabadiliko ya tabianchi DunianiRais Samia Suluhu Hassan, akisindikizwa na Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Novemba 4, 2021 akitokea Glasgow, Scotland alikohudhuria mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa uliojadili kuhusu athari za mabadiliko ya tabianchi Duniani (Picha na Ikulu)
Your Ad Spot
Nov 4, 2021
RAIS SAMIA AREJEA NCHINI AKITOKEA SCOTLAND, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇