Katibu Msaidizi Mkuu wa Utawala na Uendeshaji wa CCM, Wilson Mkambaku akimkaribisha NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdulla Juma Mabodi kuongoza mafunzo hayo.
Kanali mstaafu Ngemela Lubinga katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa wa CCM, akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, Christina Mndeme kabla kuanza mafunzo.
Hamasa ya nyimbo za CCM ikiendelea kabla ya kuanza kwa mafunzo hayo.
Makatibu wa mikoa na wilaya wa CCM wakisikiliza kwa makini mafunzo hayo yakiendelea.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kuona kupitia clip hii ya video mwanzo wa mafunzo hayo.... Imeandaliwa na Richard Mwaikenda
Mhariri wa Blog ya Taifa ya CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇