Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Damas Ndumbaro akijadiliana jambo na Naibu wake, Marz Masanja bungeni Dodoma.
Mbunge wa Vwawa, Japhet Hasunga akiingia bungeni Dodoma
Mbunge wa Liwale, Mohammed Kuchauka
Waziri wa Ardhi, Nzumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akiwa viwanja vya Bunge tayari kuingia bungeni.
Mbunge wa Mbinga Vijijini, Benaya Kapinga akiwahi kuingia bungeni
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali kwa Mwaka 2022/2023 pamoja na Mwongozo wa kuandaa Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, bungeni Dodoma.
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma akijadliana jambo na Mbunge wa Viti Maalumu bungeni Dodoma .
Mbunge Ida Kenani wa Nkasi Kaskazini akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali kwa Mwaka 2022/2023 pamoja na Mwongozo wa kuandaa Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, bungeni Dodoma.
Mbunge wa Babati Vijijini, Daniel Sillo (kushoto) na Mbunge wa Sikonge, Joseph Kakunda wakiwa viwanja vya Bunge tayari kuingia bungeni Dodoma.
Mbunge wa Viti Maalumu Juliana Shonza akiwa viwanja vya Bunge akijiandaa kuingia bungeni.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mbarouk Nassor akiwahi kuingia bungeni.
Mbunge wa Mwanga, Joseph Tadayo akiwahi kuingia bungeni.
Mbunge wa Longido, Dkt Stephen Kiruswa akiwahi kuingia bungeni.
Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya akiwahi kuingia bungeni Dodoma.
Wabunge wakiwa viwanja vya Bunge kuingia bungeni Dodoma.
Mbunge wa Singida Mjini,Mussa Sima
Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini, Deo Mwanyika akiwa viwanja vya Bunge tayari kuingia bungeni Dodoma Mkutano wa Tano kikao cha tatu.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇