Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akitoa hutuba yake kwa Wananchi wakati wa halfa ya kuadhimisha Mwaka mmoja tangu awe Rais wa Zanzibra, iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Golden Tulip Kiembesamaki mkoa wa Mjini Magharibi, Baadhi ya Viongozi na wananchi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi wakati akitoa hutuba yake kwa Wananchi wakati wa halfa ya kuadhimisha Mwaka mmoja tangu awe Rais wa Zanzibra, iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Golden Tulip Kiembesamaki mkoa wa Mjini Magharibi.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi na Mama Marium Mwinyi wakitazama burudani ya ngoma iliyotumbuiza katika wa halfa ya kuadhimisha Mwaka mmoja tangu awe Rais wa Zanzibra, iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Golden Tulip Kiembesamaki mkoa wa Mjini Magharibi. (Picha na Ikulu, Zanzibar).
Your Ad Spot
Nov 6, 2021
Home
featured
Zanzibar
RAIS DK. MWINYI KATIKA HAFLA YA MAADHIMISHO YA MWAKA MMOJA TANGU AWE RAIS, ILIYOFANYIKA, KIEMBESAMAKI MKOA WA MJINI MAGHARIBI, LEO
RAIS DK. MWINYI KATIKA HAFLA YA MAADHIMISHO YA MWAKA MMOJA TANGU AWE RAIS, ILIYOFANYIKA, KIEMBESAMAKI MKOA WA MJINI MAGHARIBI, LEO
Tags
featured#
Zanzibar#
Share This
About Bashir Nkoromo
Zanzibar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇